• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Momba

  • Home
  • About us
    • History
    • Mission and Vision
    • Profile
  • Adminstration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Primary Education
      • Infrastructure
      • Admin and Human Resources management
      • Economic &Productive
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Livestocks and Fisheries
    • Unit
      • Legal Unit
      • Internal Audit
      • Procument and Supply Management
      • ICT
      • Bee Keeping
      • Election
  • Oportunity and Investment
    • Agriculture
    • Livestock Keeping
  • OurService
    • Health services
    • Water Services
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councils
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Projects
    • Completed Project
      • Ongoing Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Form
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

Secondary Education

Majukumu ya Idara ya Elimu Sekondari katika H/W ya wilaya ya Momba

  • Kumshauri Mkurugenzi wa Halmashauri kuhusu shughuli zote zinazohusu Idara ya Elimu ya Sekondari
  • Kusimamia mitihani yote ya ndani na ile ya Taifa yaani Mitihani ya kidato cha II,IV.VI na Vyuo vya Ualimu
  • Kusimamia, kuratibu na kufuatilia shughuli za ujenzi wa miundombinu katika shule za Sekondari kama vile nyumba za walimu, madarasa, majengo ya utawala, maabara, mkataba na vyoo
  • Kusimamia na kuratibu shughuli zote za Ukusanyaji, uchambuzi na kutafsiri takwimu za Idara ya elimu Sekondari na kuzituma kwa wadau wa elimu
  • Kusimamia na kuratibu shughuli za uandaaji wa taarifa na kuzituma kwa wadau mbalimbali wa elimu ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa
  • Kusimamia na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanapata taaluma kwa kiwango kilicho bora kwa mujibu wa Sera ya Elimu ya mwaka 1995 na 2014.
  • Kusimamia na kuhakikisha nidhamu ya wanafunzi, walimu na watumishi wasio walimu inadumishwa shuleni
  • Kusimamia na kuhakikisha fedha za Idara ya Elimu Sekondari zinatumika kwa kufuata kanuni, sheria, taratibu na miongozo ya fedha za Serekali za Mitaa
  • Kuhakikisha vifaa vya kufundishia na kujifunzia vinapatikana katika shule za sekondari
  • Kuhakikisha kuwa shule zote za Sekondari zina samani za kutosha kwa ajili ya walimu na wanafunzi
  • Kuandaa ajenda na kuhudhuria vikao vyote vinavyohusu Idara ya Elimu Sekondari
  • Kuandaa taarifa za utekelezaji za Idara ya elimu sekondari za robo na mwaka na kuziwasilisha kwa wadau mbalimbali wa maendeleo kama vile Waheshimiwa Madiwani, Mkoa na Taifa
  • Kuandaa makisio ya bajeti ya Idara ya Elimu ya Sekondari kila mwaka.
  •  Kupokea na kuwapangia vituo walimu na wafanyakazi wa idara wanaohamia au wanaoajiriwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Announcements

  • MAANDALIZI YA UJIO WA MWENGE KATIKA WILAYA YA MOMBA MWEZI MAYI 2018 April 12, 2018
  • KUITWA KWENYE USAHILI May 24, 2018
  • TANAGAZO LA KAZI KATIKA WILAYA YA MOMBA March 31, 2018
  • TANGAZO LA KAZI - MOMBA September 18, 2017
  • View All

Latest News

  • Waziri wa maji na umwagiliaji Mwandisi Isack Kamwelwe atembelea wilaya ya Momba

    June 06, 2018
  • Mh naibu waziri wa Maji Mh Jumaa H Aweso akiwa katika ziyara wilayani Momba

    December 28, 2017
  • UJENZI WA BWAWA WA CHUMVI KATIKA KATA YA IVUNA -ITUMBULA

    September 18, 2017
  • Chiku A.S.Gallawa akifanya kikao kazi cha elimu na Waratibu elimu kata, walimu wakuu katika wilaya ya Momba

    June 20, 2017
  • View All

Video

Mkuu wa Mko wa Songwe akitoa Hotoba
More Videos

Quick Links

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFILIYA

Related Links

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Tunduma-Momba

    Postal Address: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Telephone: +255 762578195

    Mobile: +255 762578195

    Email: mombdc@sonngwe.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc