• Malalamiko |
    • Mawasiliano |
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Gallery |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Momba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha
      • Kilimo
      • Idara ya Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Utawala na Utumishi
      • Shughuli za Kiuchumi na Uzalishaji
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Tehama
      • Bee Keeping
      • Election
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
  • Madiwani
    • Councilors List
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Ongoing Project
  • Matangazo
    • Miongozo
    • Procedures
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Matamko
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Gallery

Kilimo

IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA

Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Momba asilimia  80.3% ya ardhi ya wilaya ya Momba inatumika kwa ajili ya kilimo. Mazao makuu ya chakula yanayolimwa ni Mahindi, Maragwe, Mpunga , mtama soya na viazi vitamu  na Mazao makuu ya biashara ni Mpunga,alizeti.Mtama

Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika

Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika ni miongoni mwa Idara kumi na tatu (13) za Halmashauri ya Wilaya ya Momba  ambayo wajibu wake ni kutoa ushauri wa kitaalam kwa Wananchi katika kuboresha uzalishaji na tija kwa mazao ya Kilimo ili kujitosheleza kwa chakula na kuongeza kipato kwa Kaya.

Idara imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni sehemu ya Uzalishaji mazao (Kilimo), Umwagiliaji na Ushirika.

Lengo la Idara 

  • Upatikanaji wa chakula cha kutosha na ongezeko la kipato kwa kaya

Mikakati ya kufikia lengo 

  • Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Miradi ya maendeleo iliyoibuliwa na wananchi ili kutatua changamoto wanazokabiliana nazo.
  • Miradi hiyo ni pamoja na Ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya umwagiliaji ili kuboresha upatikanaji wa maji ya umwagiliaji. Miradi iliyoboreshwa/kukarabatiwa ni Mfereji mkuu wa Umwagiliaji Namingo’ngo
  • Kutoa mafunzo ya Kilimo bora cha mazao ya chakula na biashara kwa wakulima kupitia mashamba darasa, mashamba ya mfano, Kuandaa siku ya wakulima, kushiriki maonesho ya Nanenane na ziara za mafunzo
  • Kutoa elimu ya Kilimo biashara kwa vikundi vya wakulima (kuongeza thamani mazao ya Kilimo na kuwaunganisha wakulima na masoko)
  • Kuratibu na kusimamia usambazaji wa Pembejeo za Kilimo zenye ruzuku ya Serikali kwa wakulima wanufaika. Pembejeo zinazosambazwa ni pamoja na Mbegu bora za Mahindi, Mbolea ya kupandia na mbolea ya kukuzia
  • Kutoa elimu kwa wakulima juu ya kupunguza upotevu wa mazao baada ya kuvuna (Post harvest losses)
  • Kukusanya na kutunza Takwimu muhimu za uzalishaji wa mazao ya Kilimo
  • Kutoa elimu ya matumizi bora ya Ardhi (Sustainable Land Management)
  • Kukagua na kusimamia vyama vya Ushirika vya Mazao (AMCOS), Akiba na Mikopo (SACCOS)
  • Kushirikiana na vituo vya Utafiti kusambaza teknolojia mpya za Kilimo kwa wakulima
  • Kushirikiana na taasisi zisizokuwa za kiserikali (NGOs) katika usambazaji wa teknolojia mpya za Kilimo

Changamoto zinazoikabili Idara

  • Upungufu wa rasilimali fedha za kutosha kutekeleza miradi yote ya maendeleo inayoibuliwa na wakulima
  • Upungufu wa vitendea kazi kwa wataalam, Ngazi ya Kijiji, Kata na Wilaya. Vitendea kazi hivyo ni pamoja na usafiri ili kuwafikia wakulima kwa urahisi na vifaa vya kupima afya ya udongo (Soil Test Kits)
  • Upungufu wa Maafisa ugani na maafisa Ushirika

Utatuzi wa Changamoto

  • Kushauri Serikali kuu kuongeza ukomo wa bajeti (Budget Ceiling) ya Sekta ya Kilimo ili kusaidia utekelezaji wa miradi na ununuzi wa vitendea kazi kwa wataalam
  • Kuhamasisha asasi binafsi kutenga fedha kwa ajili utekelezaji wa miradi inayoibuliwa na jamii
  • Halmashauri kutenga sehemu ya fedha za mapato ya ndani kusaidia utekelezaji wa miradi inayoibuliwa na wakulima
  • Kuweka mpango wa mahitaji ya wataalam wa Kada mbalimbali

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA January 04, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE January 28, 2023
  • ORODHA YA MAJINA WALIYOITWA KWENYE USAHILI WA ZOEZI LA SENSA July 18, 2022
  • View All

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAGAWIWA PIKIPIKI ZENYE THAMANI YA TSH MIL 159 ILI KURAHISISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI.

    March 09, 2023
  • BILION 2 KUKUSANYWA KUTOKA KATIKA VYANZO VYA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    January 24, 2023
  • KAMATI YA YA SIASA YA WILAYA IMEFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO LEO TAREHE 16 NOVEMBA 2022

    November 16, 2022
  • MIKAKATI KUKABILIANA NA WIMBI LA UDUMAVU MOMBA

    November 09, 2022
  • View All

Video

UKODISHAJI WA MAGHALA -MOMBA DC
Picha za video

Linki za Haraka

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI

Tovoti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Mawasiliano

    Tunduma-Momba

    Anwani: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Namba ya Simu: 0252957476

    Simu: 025 295 7476

    Barua Pepe: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala
    • Ramani
    • Huduma

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc