KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WA KATA 14 ZA HALMASHAURI ZA WILAYA YA MOMBA.
Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Momba Bi. Rehema Muhunzi leo Tarehe 08 Mei 2024 ameongoza kikao kazi cha Maafisa maendeleo ya Jamii kutoka kata zote 14 pamoja na Maafisa wengine wa ngazi ya wilaya ambapo katika kikao hicho wamejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwasilishwaji wa Taarifa za utekelezaji wa kazi mbalimbali katika jamii,
Tunduma-Momba
Postal Address: S.L.P 273 Tunduma Momba
Telephone: 0252957476
Mobile: 025 295 7476
Email: ded@mombadc.go.tz
Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc