Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba Bi. REGINA BIEDA "Lishe ni Msingi Mkubwa kwa Taifa letu" amesema hayo katika kikao kazi cha Mafunzo ya awali ya uandaaji Mipango na Bajeti ya Lishe kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 ,
Aidha, Dhumuni kubwa la kikao kazi hicho ni kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati ya lishe wa Halmashauri ya wilaya ya Momba kuweza kupanga shughuli zenye kuleta tija kwa wananchi.
Tunduma-Momba
Postal Address: S.L.P 273 Tunduma Momba
Telephone: 0252957476
Mobile: 025 295 7476
Email: ded@mombadc.go.tz
Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc