• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Momba

  • Home
  • About us
    • History
    • Mission and Vision
    • Profile
  • Adminstration
    • Organization Structure
    • Department
      • Finance
      • Agriculture
      • Secondary Education
      • Primary Education
      • Infrastructure
      • Admin and Human Resources management
      • Economic &Productive
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Livestocks and Fisheries
    • Unit
      • Legal Unit
      • Internal Audit
      • Procument and Supply Management
      • ICT
      • Bee Keeping
      • Election
  • Oportunity and Investment
    • Agriculture
    • Livestock Keeping
  • OurService
    • Health services
    • Water Services
    • Education
    • Agriculture
    • Livestock
    • Fishing
  • Councils
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Projects
    • Completed Project
      • Ongoing Projects
    • Ongoing Project
  • Publications
    • Guidelines
    • Procedures
    • Reports
    • Acts
    • Application Form
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Media Center
    • Press Release
    • Videos
    • Speeches
    • Photo Gallery
    • News
    • Events

ICT

Tehama

Kitengo Cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

Kitengo Cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano kina lengo la kutoa huduma za kitaalamu juu ya matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa Sekretarieti ya Mkoa, Aidha Kitengo hiki kinaongozwa na Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta Mkuu ambaye anawajibika kwa Katibu Tawala wa Mkoa.



Majukumu ya Idara/Seksheni

Majukumu ya Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

 

  • Kutayarisha mpango Mkakati wa kuhusu teknolojia ya habari na mawasiliano, Miongozo na taratibu kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  • Kuishauri Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa juu ya masuala yanayohusiana na sera zinazohusiana na teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wa dhana ya serikali mtandao.
  • Kuishauri Menejimenti ya Sekretarieti ya Mkoa juu ya masuala yanayohusiana na sera, miongozo na taratibu zinazohusiana na takwimu.
  • Kusimamia maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano na utekelezaji wake kwa ajili ya Sekretarieti ya Mkoa.
  • Kushirikiana na OWM-TAMISEMI kuratibu na kuendeleza viwango vya teknolojia ya habari na mawasiliano kwa ajili ya “software na hardware” kwa matumizi ya Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  •  Kuziwezesha Mamlaka za Serikali za Mitaa katika kuendeleza na kutekeleza  mipango/miradi ya teknolojia ya habari na mawasiliano.
  • Kuratibu utekelezaji wa usanifu na kutunza/kuiendeleza matumizi yanayohusiana na Tovuti na utunzaji wa kumbukumbu kwa ajili ya Sekretarieti ya Mkoa.
  •   wizarani, Idara, wakala na wadau wengine.
  • Kutoa na kuratibu msaada wa teknolojia ya habari kwa Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kutathimini, kuboresha na kusimamia teknolojia ya habari na mawasiliano na usimamizi wa mifumo ya taarifa/habari iliyosimikwa/iliyowekwa kwenye Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kufanya tathimini ya mahitaji ya mafunzo juu ya usimamizi wa mifumo ya taarifa na teknolojia ya habari na mawasiliano na kuandaa mpango wa kujenga uwezo
  • Kufanya tathimini ya hatari/hasara zinazohusiana na miundombinu ya teknolojia ya habari na mawasiliano na mfumo wa usimamizi wa taarifa na namna ya kuthibiti.
  •   Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.
  • Kuendeleza na kutunza Tovuti ya Mkoa.
  • Kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwenye kushughulikia takwimu na taarifa
  •   taarifa, kutunza, kuzipitisha hatua mbalimbali, kuzichambua, kuziwasilisha, kuzisambaza na kuzihifadhi.
  • Kushirikiana na Tume ya Taifa ya Takwimu juu ya masuala yote yanayohusu Mfumo wa Taifa wa Takwimu.
  • Kuandaa masuala yote yanayohusiana na takwimu kwenye Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa

Announcements

  • KUITWA KATIKA USAILI January 02, 2021
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UFUNDI January 22, 2021
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 WILAYA YA MOMBA DC December 18, 2020
  • SONGWE WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI December 18, 2020
  • View All

Latest News

  • Siku ya Maonyesho ya nanenane

    August 13, 2020
  • Waziri wa maji na umwagiliaji Mwandisi Isack Kamwelwe atembelea wilaya ya Momba

    June 06, 2018
  • Mh naibu waziri wa Maji Mh Jumaa H Aweso akiwa katika ziyara wilayani Momba

    December 28, 2017
  • UJENZI WA BWAWA WA CHUMVI KATIKA KATA YA IVUNA -ITUMBULA

    September 18, 2017
  • View All

Video

Mkuu wa Mko wa Songwe akitoa Hotoba
More Videos

Quick Links

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFILIYA

Related Links

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Contact Us

    Tunduma-Momba

    Postal Address: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Telephone: 0252957476

    Mobile: +255 0621096315

    Email: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc