• Malalamiko |
    • Mawasiliano |
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Gallery |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Momba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha
      • Kilimo
      • Idara ya Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Utawala na Utumishi
      • Shughuli za Kiuchumi na Uzalishaji
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Tehama
      • Bee Keeping
      • Election
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
  • Madiwani
    • Councilors List
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Ongoing Project
  • Matangazo
    • Miongozo
    • Procedures
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Matamko
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Gallery

Historia

Wilaya ya Momba, ni miongoni mwa wilaya mpya, ilianzishwa rasmi mwaka 2012 na Serikali kwa mujibu wa kifungu cha tano (5) sheria za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), sura namba 287 R.E 2012 na pamoja na sheria nyinginezo zinazohusika na uanzishwaji wa Wilaya ni pamoja na Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya uanzishwaji wa mikoa na Wilaya sura namba 397 ya mwaka 2012, baada ya kugawanya kwa Wilaya ya Mbozi kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wakazi wa Wilaya ya Momba, kufuatia tangazo la Serikali (GN ) Namba 73 la mwaka 2012 wilaya ya Momba ilitangazwa kuanzishwa rasmi pamoja na wilaya nyingine 18, hati rasmi ya uanzishwaji wa wilaya ya Momba na kuanza kutumika ilitolewa tarehe 23/12/2012.

Wilaya ya Momba inaundwa na halmashauri mbili , halmashauri ya Wilaya ya Momba na halmashauri ya Mji wa Tunduma, ambazo kwa pamoja zina tarafa 4, halmashauri ya wilaya ya Momba ikiwa na tarafa 3 na jimbo moja la uchaguzi na halmashauri ya Wilaya ya mji wa Tunduma ikiwa na tarafa 1 na jimbo moja la uchaguzi.

Wilaya ya Momba inapatikana Magharibi mwa Mkoa mpya wa Songwe,  kati ya Latitudo 80 10” Kusini na 90 15”kusini mwa mstari wa Equator, Longitudo 320  5’Mashariki na 320  45” Mashariki mwa mstari wa Greenwich ya Meridian. Wilaya inapakana na Mkoa wa Rukwa na Nchi ya Zambia upande wa Magharibi, Upande wa Mashariki inapakana na Wilaya ya Mbozi, Upande wa Kaskazini inapatikana na Wilaya ya Chunya, na kusini inapakana na Wilaya ya Ileje.

 

 

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 13, 2022
  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA January 04, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE January 28, 2023
  • ORODHA YA MAJINA WALIYOITWA KWENYE USAHILI WA ZOEZI LA SENSA July 18, 2022
  • View All

Taarifa Mpya

  • MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA WAGAWIWA PIKIPIKI ZENYE THAMANI YA TSH MIL 159 ILI KURAHISISHA UTOAJI WA HUDUMA KWA WANANCHI.

    March 09, 2023
  • BILION 2 KUKUSANYWA KUTOKA KATIKA VYANZO VYA NDANI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    January 24, 2023
  • KAMATI YA YA SIASA YA WILAYA IMEFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO LEO TAREHE 16 NOVEMBA 2022

    November 16, 2022
  • MIKAKATI KUKABILIANA NA WIMBI LA UDUMAVU MOMBA

    November 09, 2022
  • View All

Video

UKODISHAJI WA MAGHALA -MOMBA DC
Picha za video

Linki za Haraka

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI

Tovoti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Mawasiliano

    Tunduma-Momba

    Anwani: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Namba ya Simu: 0252957476

    Simu: 025 295 7476

    Barua Pepe: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala
    • Ramani
    • Huduma

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc