• Malalamiko |
    • Mawasiliano |
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Gallery |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Momba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha
      • Kilimo
      • Idara ya Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Utawala na Utumishi
      • Shughuli za Kiuchumi na Uzalishaji
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Tehama
      • Bee Keeping
      • Election
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
  • Madiwani
    • Councilors List
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Ongoing Project
  • Matangazo
    • Miongozo
    • Procedures
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Matamko
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Gallery

TUMEFURAHISHWA SANA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA. - Mwenyekiti Mwampashi

Sunday 18th, May 2025
@CHITETE-SONGWE

TUMEFURAHISHWA SANA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA. - Mwenyekiti Mwampashi


Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe imewapongeza viongozi wa Serikali ya Wilaya ya Momba pamoja na Halmashauri ya Momba kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa miradi ya maendeleo katika wilaya hiyo.


Pongezi hizo zimetolewa leo Terehe 23 Januari, 2023 na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Songwe, Ndugu Radwel Mwampashi wakati wa ziara ya Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe ya kutembelea na kukagua utekelezaji wa baadhi ya miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wiaya ya Momba.


Akitoa majumuisho ya ziara hiyo, Ndugu Mwampashi amesema kuwa miradi waliyoitembelea katika ziara ya sasa imewafurahisha zaidi na ameziomba Halmashauri nyingine ziende Momba kujifunza Namna bora ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.


"Miradi ya safari hii imetufurahisha sana kwa kweli kwa niaba ya kamati ya siasa nawapa 'Big up sana'. Nawapongeza sana. Hakuna mradi ambao umekuwa na kasoro na siku zote Halmashauri ya Wilaya ya Momba imekuwa roal modal ya Mkoa wa Songwe. Hongereni sana" amesema Mwenyekiti huyo wa CCM Mkoa wa Songwe na kuongeza;


"Mimi kwa niaba ya kamati niwapongeze sana viongozi wa Halmashauriya Wilaya ya Momba. Kazi mnayoifanya ni nzuri lakini pia mambo yanayofanyika mazuri kama haya ni juhudi za

Mheshimiwa Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye usiku na mchana halali usingizi kuhakikisha wananchi wanapata huduma"


Katika ziara hiyo ambayo kamati ya Siasa iliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mheshimiwa Dkt. Francis Michael, Katibu Tawala wa Mkoa huo, Bi. Happiness Seneda, wataalamu kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa, wametembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa Machinjio ya kisasa katika soko la kimataifa kakozi awamu ya tatu ( 2,000,000,000.00), Ujenzi wa Vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya vyoo shule ya msingi Nakawale (81,000,000.00) na Ujenzi wa Maternity complex Hospitali ya Wilaya ya Momba.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA January 04, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE January 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA NA ELIMU April 12, 2023
  • ORODHA YA MAJINA WALIYOITWA KWENYE USAHILI WA ZOEZI LA SENSA July 18, 2022
  • View All

Taarifa Mpya

  • https://www.inec.go.tz/news/orodha-ya-asasi-zilizopata-kibali-cha-uangalizi-wa-uboreshaji-wa-daftari-mwaka-2024-2025

    June 27, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • View All

Video

UKODISHAJI WA MAGHALA -MOMBA DC
Picha za video

Linki za Haraka

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI

Tovoti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2023

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Mawasiliano

    Tunduma-Momba

    Anwani: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Namba ya Simu: 0252957476

    Simu: 025 295 7476

    Barua Pepe: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala
    • Ramani
    • Huduma

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc