• Malalamiko |
    • Mawasiliano |
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Gallery |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Momba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha
      • Kilimo
      • Idara ya Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Utawala na Utumishi
      • Shughuli za Kiuchumi na Uzalishaji
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Tehama
      • Bee Keeping
      • Election
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
  • Madiwani
    • Councilors List
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Ongoing Project
  • Matangazo
    • Miongozo
    • Procedures
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Matamko
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Gallery

KILIMO CHA UFUTA, KOROSHO CHAHIMIZWA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOMBA.

Posted on: October 24th, 2023

Serikali ya Halmashauri ya wilaya ya Momba imeanza mkakati wa kutoa elimu na kuimiza kwa kila mwananchi mwenye umri kuanzia miaka 18 kuchangamkia fursa ya kilimo cha ufuta na korosho ambacho kimeonekana kufanya vizuri na kwa tija kwa wakulima wa Momba.


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Momba, Mhe. Methew Chikoti amesema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi na kusikiliza kero za wananchi akiambatana na waheshimiwa madiwani wa kamati ya fedha, mipango na uongozi.


Mhe. Methew Chikoti amesema Halmashauri imejipanga na imeisha andaa mbegu bora ya ufuta na korosho kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwa utaratibu mzuri ambao umepangwa na watalamu.


"Tunataka kuona kila kaya ndani ya Momba inalima ekari moja ya ufuta au zaidi na kwa zao la korosho lengo letu ni kuona kila kaya inaandaa na kulima nusu eka ya korosho ili wakulima wetu wapate fedha kupitia mazao aya na kuondokana kutegemea kilimo cha mpunga na mahindi" Mhe. Methew Chikoti.


Pia, Mhe. Methew Chikoti ametoa onyo na tahadhari kwa vijana ambao watashindwa kulima korosho na ufuta watakamatwa na Serikali za vijiji vyao na watapewa adhabu ya kwenda kulima kwenye mashamba ya wenzao waliolima ufuta na korosho bila kulipwa chochote.


Lengo letu ni kuona kila moja analima na kupata fedha kwa ajili ya kukuza uchumi wa familia yake pamoja na Halmashauri ya Momba.


Afisa Kilimo Halmashauri ya Momba, Mathew Kyando amesema kila kata inayolima korosho na ufuta tayari ina watalamu wa kilimo ambao watawashauri kitalamu wakulima.


Mathew Kyando amesema mbegu za korosho zitatolewa bure kwa kila mkukima ili aweze kulima nusu Ekari ambayo ni sawa na miti 13 ya korosho pamoja na viwatilifu vyake vya korosho na kwa wakulima wa ufuta watapata mbegu bora kwa nusu bei.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA January 04, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE January 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA NA ELIMU April 12, 2023
  • ORODHA YA MAJINA WALIYOITWA KWENYE USAHILI WA ZOEZI LA SENSA July 18, 2022
  • View All

Taarifa Mpya

  • https://www.inec.go.tz/news/orodha-ya-asasi-zilizopata-kibali-cha-uangalizi-wa-uboreshaji-wa-daftari-mwaka-2024-2025

    June 27, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • View All

Video

UKODISHAJI WA MAGHALA -MOMBA DC
Picha za video

Linki za Haraka

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI

Tovoti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2023

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Mawasiliano

    Tunduma-Momba

    Anwani: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Namba ya Simu: 0252957476

    Simu: 025 295 7476

    Barua Pepe: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala
    • Ramani
    • Huduma

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc