• Malalamiko |
    • Mawasiliano |
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala |
    • Barua Pepe za watumishi |
    • Gallery |
Halmashauri ya Wilaya ya Momba
Halmashauri ya Wilaya ya Momba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Momba District Council

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Wasifu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Fedha
      • Kilimo
      • Idara ya Sekondari
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Miundombinu
      • Utawala na Utumishi
      • Shughuli za Kiuchumi na Uzalishaji
      • Planing stastistics and Monitoring
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Mkaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Manunuzi
      • Tehama
      • Bee Keeping
      • Election
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
    • Elimu
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Fishing
  • Madiwani
    • Councilors List
    • Kamati Za Kudumu
      • Fedha Na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwnyekiti
    • Tatiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • Miradi inayoendelea
    • Ongoing Project
  • Matangazo
    • Miongozo
    • Procedures
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Library For Costumer Service
    • Strategics Plan
  • Kituo cha Habari
    • Press Release
    • Video
    • Matamko
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Gallery

WAGANGA WA TIBA ASILI MOMBA WAKABIDHIWA VYETI VYA USAJILI WA MUDA

Posted on: May 7th, 2024

WAGANGA WA TIBA ASILI MOMBA WAKABIDHIWA VYETI VYA USAJILI WA MUDA 

 

Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba Ndg. Alex Batweli akabidhi vyeti vya usajili wa muda kwa Waganga wa tiba Asili ambapo katika makabidhiano hayo Batweli amesema:-

Lengo la serikali ni kuhakikisha waganga wote wa Tiba Asili wanapata usajili wa kuendesha shughuli zao kwa kufuata taratibu na miongozo ya Wizara ya Afya.

Pia waganga wa Tiba Asili wajisali ili watambulike na waweze kutoa taarifa zao za kitabibu kwenye mamlaka na mifumo ya serikali ya kutolea huduma za afya.

Waganga wa tiba asili wanawajibu wa kutoa taarifa zao za kitabibu na pia kutoa rufaa  ya wagonjwa wanaofika kwao pale wanapokuwa hawana weledi wa kuwatibu wagonjwa hao, rufaa zao inatakiwa ziende kwenye vituo  vya kutolea huduma za afya vilivyo karibu na maeneo yao.

Wanawajibu wa kuboresha mawasiliano na wataalamu wa vituo vya serikali vilivyopo kwenye maeneo hayo.

Pamoja na hayo pia hawaruhusiwi kufanya matibabu kwa baadhi ya magonjwa ambayo hawana uwezo wa kuyatibu kama:-

  • Magonjwa ya milipuko (kipindupindu)
  • Magonjwa ya dharura (ajali)
  • Wajawazito
  • Wagonjwa wa kisukari, upungufu wa damu kifafa.

Kila Mganga wa tiba asili anawajibu wa kutunza mazingira na kuboresha pale anapotelea huduma.




Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA PILI YATANGAZWA January 04, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE January 28, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KWA KADA ZA AFYA NA ELIMU April 12, 2023
  • ORODHA YA MAJINA WALIYOITWA KWENYE USAHILI WA ZOEZI LA SENSA July 18, 2022
  • View All

Taarifa Mpya

  • https://www.inec.go.tz/news/orodha-ya-asasi-zilizopata-kibali-cha-uangalizi-wa-uboreshaji-wa-daftari-mwaka-2024-2025

    June 27, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    May 20, 2024
  • View All

Video

UKODISHAJI WA MAGHALA -MOMBA DC
Picha za video

Linki za Haraka

  • You tube
  • Plan Rep Link
  • ORODHA YA ASASI ZILIZOPATA KIBALI CHA UANGALIZI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MWAKA 2024/2025
  • FFARS Online Docomentation
  • FFARS Link
  • KIBALI CHA KUSAFIRI NJE YA NCHI

Tovoti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani
  • Wizara ya Kilimo
  • http://www.tasaf.go.tz/
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2023

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Mawasiliano

    Tunduma-Momba

    Anwani: S.L.P 273 Tunduma Momba

    Namba ya Simu: 0252957476

    Simu: 025 295 7476

    Barua Pepe: ded@mombadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Kanusho
    • Maswali yanayoulizwa mala kwa mala
    • Ramani
    • Huduma

Haki zote zimeifadhiwa ©2018 Momba dc